Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa Mawasiliano wachelewesha matokeo Mtwara

Tuesday , 4th Aug , 2015

Ukosefu wa mawasiliano katika baadhi ya maeneo mkoani Mtwara imetajwa kuwa ndio sababu iliyochang

Katibu wa CCM mkoa wa Mtwara Bw. Shaibu Akwilombe akizungumza na wananchi katika mkutano uliofanyika uwanja wa Fisi.

Ukosefu wa mawasiliano katika baadhi ya maeneo mkoani Mtwara imetajwa kuwa ndio sababu iliyochangia ucheleweshaji wa kutangazwa kwa matokeo ya kura za maoni za uchaguzi kwa wagombea wa nafasi za ubunge na udiwani.

Hayo yamezungumzwa jana na katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani humo, Shaibu Akwilombe, alipokuwa akitangaza matokeo ya awali ya majimbo sita kati ya tisa yaliyofanya uchaguzi.

Uchaguzi pia uligubikwa na udanganyifu wa hapa na pale ambapo mgombea mmoja alikutwa na karatasi ambazo zimeshtiwa tiki ofisini kwake ambapo hata lipoulizwa alikana kuzijua karatasi hizo.

Aidha, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika amefanikiwa kushinda katika jimbo la Newala mjini ambalo lilikuwa likiwaniwa na makada watatu huku Asnain Murji akishinda katika jimbo la Mtwara mjini kwa kura 10,055.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea