Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba atoa sharti ''likitimizwa naachia ngoma''

Monday , 3rd Dec , 2018

Mkali wa Bongofleva ambaye kwasasa ametambulisha 'Label' yake ya muziki inayofahamika kama (Kings Music Record Label) ambayo ina wasanii wanne, ametoa sharti dogo kwa wapenzi wa muziki wake kama wanataka ngoma mpya kutoka kwake.

Msanii Alikiba

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Alikiba ametoa mkwara huo kwa kuwaaambia mashabiki kuwa ngoma mpya ya wasanii wa Kings Music iitwayo 'Toto' ni kali na kwa anayebisha amemtaka akune kichwa ili aachie ngoma.

''TOTO ni shida fanya kama unajikuna nitoe kubwa'', umesomeka ujumbe huo kutoka kwake.

Katika ngoma hiyo ambayo imeachiwa wikiendi iliyopita, Alikiba hajaimba kama alivyofanya kwenye wimbo wa kwanza badala yake amewaacha wasanii Abdukiba, Cheed, Killy na K-2GA.

Alikiba hajatoa wimbo wa peke yake tangu Mei 11, 2018 alipoachia Mvumo wa Radi, lakini alishirikiana na wasanii wa Kings Music kwenye wimbo wao wa kwanza ulioitambulisha Lebo hiyo uitwao 'Sina'.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea