Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Luffa atoa onyo kali

Monday , 24th Jul , 2017

Mtayarishaji wa muziki King Lufa amewataka wasanii kutoka 'Switcher Music Group' kuheshimu kipaji chake na kuwafahamisha kuwa muziki ni biashara kama zilivyo nyinginezo.

Lufa amelazimika kutoa kauli hiyo kwa madai ya kuwa kundi hilo limetoa nyimbo tatu alizozitengeneza wakati akifanya kazi kwenye studio ya switch na kusema kwamba anashangaa kazi zake kutoka bila makubaliano yoyote.

"Mimi muziki ni kazi yangu, na huwa sikubaliani na watu wanaotaka kunirudisha nyuma. Ni kweli mimi sasa hivi nipo Wanene lakini kuna kazi zangu nyingi niliziacha kwa Switcher nilioondoka cha kushangaza wanaendelea kutoa kazi nilizozitengeneza mimi. Wao wanazidi kunufaika kimuziki Halafu mwenye midundo sina taarifa siyo busara," alifunguka

Ameongeza kuwa "Sasa hivi nafanya biashara hakuna tena ile kupeana kazi kiushkaji. Hata kama kuna ugomvi hayo ni mambo yanayokujaga na kupita, kila moja aheshimu kazi ya mwenzake kwa sababu mwisho wa siku mimi na wao tunategemeana kwani hakuna msanii bila prodyuza. Tusichukuliane poa," aliongeza Lufa.

Kuachana na hayo mtayarishaji huyo nyimbo kubwa mbalimbali hapa nchini amewataka wasanii kuhakikisha wanajiongeza kutoka sehemu moja kwenda nyingine haswa wanapokuwa wakifanya shoo na kutotegemea kuimba kwa kutumia CD.

"Wasanii wetu wajiongeze, wao ndiyo watu wanaoutangaza muziki wa Tanzania hivyo ni vizuri wakabadilisha mifumo ya kufanya show, waanze kuimba hata 'Live' ili kupambana na wenzetu waliopiga hatua kimuziki. Wapige mazoezi ya kutosha," amesema
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu