Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nabella Banji kunyolewa kwapa na Daxo Chali

Thursday , 21st Mar , 2019

Baada ya stori nyingi kusambaa kuwa muandaaji wa muziki kutoka katika studio ya MJ Record Daxo Chali, anajihusisha kimapenzi na wasanii wake wa kike hili limeanza kujidhihirisha baada ya Meneja huyo kupost picha inayomuonyesha akimnyoa nywele za kwapa msanii wake mpya Nabella.

Nabella akinyolewa na Daxo Chali

Nabella ambaye ni msanii mpya kwa Daxo Chali baada ya Haitham na Nini kuondoka kwa meneja huyo na kulalamika kwamba meneja huyo aliwataka kimapenzi, Nabella amesema yeye hajaona tatizo lolote kufanya kazi na Daxo na katika maisha yake ya muziki asilimia 80 anapata msaada kutoka kwa Daxo Chali.

Nabella akizungumza na eNewz amesema kuwa "Nilikuwa free kunyolewa na Daxo Chali, kwakuwa ndiyo meneja wangu na ndo mtu pekee ambaye nilikuwa nimemzoea kwenye eneo ambalo tulikuwepo tukifanya video ya wimbo wangu Tukumbushie ambao ni wimbo wangu wa pili kutoa hivyo naomba sapoti ya mashabiki zangu kwa hali na mali".

Hata hivyo Nabella alimalizia kwa kuwataka radhi mashabiki zake kuhusu picha iliyosambaa mitandaoni na kusema kwamba picha hiyo ni ajali kazini na ilibidi hali ile itokee kwa kuwa tayari walikuwa nje ya muda na alikuwa akitaka kuwa free kwenye video yake hiyo kujiachia na kuruka sana ndo maana akaona ni vyema kupunguza nywele za kwapa kwa kuwa yeye ni mtoto wa kike usafi ni muhimu kwake.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa