Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki wa Pili awakingia kifua wafugaji

Wednesday , 11th Jan , 2017

Ikiwa bado migogoro kati ya wakulima na wafugaji inaendelea kushamili nchini msanii wa muziki wa hip hop Nikki wa Pili kutoka Weusi amefunguka na kuweka wazi sababu za migogoro hiyo kushamiri pamoja na kushauri jambo la kufanyika.

Nikki wa Pili

Amesema kuwa mara nyingi wafugaji jamii ya wamasai ambao wanapigana na wakulima katika maeneo mbalimbali nchini ni kutokana na athari za wafugaji hao kuporwa ardhi katika maeneo ya Longido, Serengeti na maeneo mengine.

Nikki wa Pili anadai kutokana na kitendo cha majaji na viongozi mbalimbali kuhodhi maeneo makubwa ya ardhi Morogoro ndiyo kunapelekea vita kubwa kati ya wakulima na wafugaji mkoani humo.

"Wafugaji (wamasai) wanaopigana na wakulima ni waathirika wa kuporwa ardhi, Longido, Serengeti na maeneo mengine, majaji, wanasiasa, wawekezaji wamehodhi ma hekari ya ardhi Morogoro na kuacha vita baina ya wakulima na wafugaji. Wakulima wadogo ni wahanga wa uhodhi wa ardhi wa makampuni ya nje, na wazawa matajiri, majaji, viongozi...ambao wana miliki ma elfu ya hekta za ardhi Morogoro ingawa wengi wanaishi Dar es Salaam" aliandika Nikki wa Pili 

Kutokana na kitendo cha viongozi na watu wenye pesa kuchukua maeneo makubwa makubwa na kuwaacha wanyonge wakiwa na vieneo vidogo ndiyo chanzo cha migogoro hiyo kwa mujibu wa Nikki wa Pili 

"Ardhi imebaki finyu kwa wakulima wadogo na wafugaji, kibaya wanapigana wao na kumuacha adui yao ambao ni waporaji ardhi wa nje na wazawa...chini ya sera za kisasa za kufanya ardhi kuwa bidhaa, haya ni mawazo tu" alisisitiza Nikki wa Pili 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea