Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu ya Lulu Diva kuuchukia u-'video queen'

Monday , 27th Feb , 2017

Msanii Lulu Diva amefunguka kinachomkera katika kazi ya kuonekana kwenye video za muziki 'video queen' kuwa ni tabia ya wadada wengi wanaofanya kazi hiyo kujirahisisha kwa wanaume, jambo linalomfanya aichukie kazi hiyo hadi kuingia kwenye uimbaji.

Lulu Diva

Akiongea katika kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio msanii huyo alionekana kukerwa na wadada hao kwa kuichukulia poa kazi hiyo na kusema hiyo ndiyo sababu ya wao kutolipwa pesa nzuri na wasanii.

"Nimetokea kutoipenda kazi ya 'Video Quen' kutokana na baadhi ya wadada hao kujirahisisha mno na hatimaye kazi hiyo kuonekana wahuni" Alisema Lulu 

Mrembo huyo ambaye kabla hajaingia kwenye tasnia ya uimbaji alikuwa ni miongoni mwa hao wadada wanaopamba video za muziki amesema misimamo yake ndiyo ilikuwa inampelekea kulipwa vizuri na kutolea mfano wa kazi mojawapo aliyofanya na Belle 9 kwamba alilipwa shilingi milioni 1.

Vilevile msanii huyo amewataka warembo hao waige mfano kwa wenzao kutoka nje ya nchi kazi wanavyozifanya ili waweze kupata malipo yao stahiki na siyo kuchafua ujuzi huo ambao mwisho wa siku watu wote wanaonekana hawana maana.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea