Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyemla mwenzake akamatwa akijifanya daktari

Friday , 1st Feb , 2019

Raia mmoja nchini Urusi, Boris Kondrashin mwenye umri wa miaka 35, amekamatwa na polisi akijifanya daktari, baada ya kubainika kufanya tukio la mauji miaka 20 iliyopita, na kunywa damu ya mtu aliyemuua.

Boris alikamatwa baada ya kupata taarifa kutoka kwa wakazi wa mji wa Chelyabinsk nchini humo, mara tu walipomkumbuka na kukumbuka yale aliyoyafanya miaka ya nyuma.

Boris ambaye ni mtoto kutoka familia yenye heshima nchini humo huku baba yake akiwa ni mtaalamu wa masuala ya saikolojia, alitumia pesa zake kupata vyeti feki na kujifanya daktari wa saikolojia na daktari wa matatizo ya uraibu (adiction), ambapo alifanikiwa kupata kazi katika hospitali mbali mbali katika mji wa Chelyabinsk.

Mwaka 1998 kijana huyo alipokuwa mwanafunzi, alimuua mwanafunzi mwenzake na kumkatakata, kisha kula sehemu za mwili wake ikiwemo ini, na kunywa damu yake.

Polisi walipomkamata alikiri kufanya kosa hilo akijifananisha na 'vampire', na kwamba alitumwa na shetani kukamilisha kazi hiyo.

Hata hivyo mahakama ilimkuta kijana huyo na matatizo ya akili, hivyo alipelekwa kwenye kituo cha magonjwa ya akili, na alipopata unafuu aliachiwa huru.

Wakazi wa maeneo hayo wamesema kwamba walimtambua baada ya mwanamke mmoja kwenda hospitali hapo kupata matibabu. Mwanaume huyo amesema alimkumbuka daktari huyo kuwa ndiye aliyemwambia kuwa yuko kwenye orodha ya wanafunzi wengine ambao alipanga kuwaua na kuwanywa damu zao.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea