Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dereva aliyemuachia Nyani kuendesha Basi afukuzwa

Monday , 8th Oct , 2018

Dereva aliyemruhusu Nyani kuendesha basi lililokuwa limebeba abiria nchini India hatimaye amefukuzwa kazi baada ya video ya tukio hilo kusambaa mitandao ya kijamii na kuwafikikia serikali na wamiliki wa basi hilo.

Picha ya dereva na Nyani

Katika video iliyokuwa ikisambaa mitandao ya kijamii ilimuonesha dereva Bw. Prakash mwenye umri wa miaka 36, akimuachia nyani kuketi juu ya uskani wa basi hilo na kuendesha huku dereva huyo akionekana kufurahishwa na kitendo hiko.

Msemaji wa kampuni ya usafiri wa barabara nchini India Bw. Kartanaka amesema kitendo hicho kimesababisha wamiliki na serikali kumfukuzwa kazi dereva wa basi hilo ambalo lilikuwa na abiria takribani 30, kitendo ambacho kina kinzana na kanuni na taratibu za usafiri nchini humo.

Wasomaji wa mitandao ya kijamii kutoka nchini humo wameoneshwa kukasirishwa na kitendo cha kukamatwa kwa dereva huyo, huku wengi wao wakidai alipaswa kuonywa na sio kufukuzwa kazi.

"Angepewa onyo na aambiwe asirudie, mmoja wa wasomaji aliandika katika ukurasa wake wa Twitter".

Kwa mujibu ya walioshuhudia, wanasema nyani alipanda gari na abiria mwingine lakini akakataa kukaa nyuma na akachagua kiti cha dereva,nadaiwa kwamba nyani huyo alipofika kwenye kituo chake alishuka na kumuacha dereva akiendelea na safari yake.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea