Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

#AUDIO Mbaraka azima 'kelele' za Kagera Sugar

Tuesday , 25th Jul , 2017

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbaraka Yusuph amethibitisha kwamba kwa sasa yeye ni mchezaji wa Azam Fc ambayo imemsajili mara baada ya kumalizika kwa msimu uliopita na pia hana mkataba na Kagera Sugar kama inavyozungumzwa.

"Siyo kila anayekwenda TFF anakesi mimi mkataba wangu wa Kagera umekwisha salama na tayari nimesaini na Azam FC hivyo ni kitu kikubwa kwangu na wala hakuna migogoro nyuma yangu" amesema kwenye mahojiano na EATV

Mbali na hayo Mbaraka ambaye alitikisa vilivyo msimu uliopita kwa kuviadhibu vilabu vya Yanga na Simba amesema kuitwa katika kikosi cha Stars kumemjengea imani kubwa kuwa anaweza kufanya chochote katika soka na kwa sasa inambidi apambane zaidi ili aweze kutimiza ndoto za kucheza soka la kulipwa.

Nyota huyo ambaye alikulia katika klabu ya Simba kabla ya kutolewa kwa mkopo Kagera Sugar na kuuzwa moja kwa moja amesema nidhamu na kujituma ndio nguzo pekee ya mchezaji yoyote mwenye malengo ya kufanikiwa kupitia mchezo huo.

Kinda huyo tegemeo la Tanzania amewaasa chipukizi kuwa wavumilivu na kujituma ili waweze kufika mbali katika medali ya soka kama anavyoona kwa upande wake hivi sasa.

Pamoja na hayo Mbaraka amedai kuwa  kuwepo kwake katika timu ya Taifa kumemfanya aweze kuanza kutimiza ndoto zake alitokua akiziota tangu utotoni kwa kucheza soka katika kiwango cha mbali zaidi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea