Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchezaji wa EPL astaafu akiwa na miaka 26

Tuesday , 13th Feb , 2018

Kiungo wa klabu ya Hull City ya England Ryan Mason, amelazimika kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 26 kwa tatizo la jeraha la fuvu la kichwa alilopata kwenye mechi dhidi ya Chelsea.

Mason amechukua uamuzi huo wa kustaafu baada ya kupewa ushauri wa madaktari wa upasuaji wa kichwa aliofanyiwa katika hospitali ya St. Mary mjini London, ambapo madaktari wameeleza kuwa Mason kuwa hai hadi sasa imekuwa ni bahati tu.

Katika mchezo huo wa EPL katika uwanja wa Stamford Bridge Januari 2016, Mason aligongana kichwa kwa kichwa na beki wa Chelsea Gary Cahill na kupasuka ambapo alitibiwa kwa dakika nane uwanjani kabla ya kukimbizwa Hospitali.

Baada ya kutibiwa Mason alianza mazoezi na klabu hiyo tena Mei 2017 lakini hakupata nafuu zaidi ya kucheza tena ambapo alikutana na watalaam zaidi wakamshauri aachane na soka.

Klabu ya hull City imewashukuru wale wote waliomsaidia kupona katika kipindi cha miezi 12 ya kuumwa kwake na sasa Mason anaanza maisha mapya nje ya soka. Mason ambaye ni raia wa England alianzia soka kwenye klabu ya Tottenham Hotspurs.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea