Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtibwa Sugar waibukia Yanga, "tumebebwa"?

Sunday , 21st Apr , 2019

Kufuatia kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera kulalamikia maamuzi ya waamuzi katika mchezo ambao Yanga ilipoteza dhidi ya Mtibwa Sugar, uongozi wa klabu ya Mtibwa umeibuka na kupinga vikali malalamiko hayo. 

Kifaru

Kikosi cha Mtibwa Sugar kilifanikiwa kuibuka kidedea mbele ya Yanga kwa ushindi wa bao 1-0, Jumatano, April 17 katika uwanja wa Jamhuri Morogoro, ambapo baada ya mchezo, kocha wa Yanga alionesha kutofurahishwa na maamuzi ya waamuzi waliochezesha mchezo huo. 

Uongozi wa Mtibwa Sugar kupitia kwa Afisa Habari, Thobias Kifaru umesema kuwa unashangazwa na taarifa zinazoelezwa kwamba wamebebwa ilihali mpira ulikuwa wazi na kila mmoja amaeona kilichotokea.

"Niliwaambia mapema ndugu zangu wa Yanga kwamba hapa ni lazima tuwachape kama ambavyo wao walifanya kwao, hicho ndicho kilichotokea na tumebeba pointi tatu, nashangaa wanadai tumebebwa wakati tuliwazidi mbinu na juhudi uwanjani wapinzani wetu wanapaswa wajipange", amesema Kifaru.

"Kinachowauma Yanga najua wanaona Mtibwa tumewapunguzia kasi na nguvu ya kuendelea kubaki kileleni ila nasi hatukuwa na namna maana tunataka tuwe ndani ya timu tatu bora sasa hatuwezi kufika hapo kama tutafungwa kiwepesi, tunajiamini na tunapambana kwa kila anayefuata hapa ni lazima tumyooshe," ameongeza.

Mtibwa Sugar imecheza michezo 32 imejikusanyia pointi 48 ikiwa nafasi ya nne imeshinda michezo 14, sare 6 na imepoteza michezo 12.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu