Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba wamuaga 'Kilomoni' kwa goli 1

Monday , 14th Aug , 2017

Mwenyekiti wa baraza la Wadhamini Simba 'Mzee Kilomoni' amesimamishwa uanachama na Klabu hiyo ikiwa ni baada ya kudaiwa kuvunja katiba ya Simba  kwa kupeleka mambo ya soka Mahakamani ilhali kuna chombo maalum cha kusuluhisha matatizo klabuni hapo.

Mchezaji Emmanuel Okwi

Katika mkutano uliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Julius Nyerere, Kamati ya Utendaji ya Klabu hiyo ilimsimamisha uanachama Mzee Kilomoni huku hukumu ikiwa imependekezwa na Kaimu Rais Simba, Salim Abdallah 'Try Again' katika mkutano huo mbele ya waachama 927 waliyohudhuria, kuwa Kilomoni aondolewe katika Baraza la Wadhamini la Simba kwa kitendo cha kufungua kesi Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wiki iliyopita.

Hata hivyo baada ya Klabu hiyo kumaliza tukio hilo ilielekea uwanjani ambapo timu ya Simba iliibuka kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, mchezo uliyopigwa siku ya Jumapili (Jana) kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Balo la Simba lilifungwa na Emmanuel Okwi katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza ikiwa ni masaa machache tangu klabu hiyo itoke kwenye mkutano mkuu.

Matokeo hayo ni mwendelezo wa matokeo mazuri iliyopata klabu hiyo ikiwa siku chache tangu ilipoifunga Rayon ya Rwanda bao 1-0 katika mchezo wa Simba Day.

 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu