Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wababe wa Simba wapelekwa Mbeya

Thursday , 10th Jan , 2019

Klabu ya soka ya Mashujaa FC kutoka Kigoma imepangwa kucheza na Mbeya City ya jijini Mbeya katika mzunguko wa nne na wa tano wa michuano ya Kombe la shirikisho Tanzania.

Shiza Kichuya akiwania mpira na moja ya wachezaji wa Mashujaa FC.

Katika droo iliyofanyika leo jijini Dar es salaam Mashujaa FC ambao waliowaondoa Simba katika mzunguko wa tatu kwa kipigo cha mabao 3-2 watasafiri kwenda kucheza kwenye uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya.

Kwa upande mwingine klabu ya Azam FC imepangwa kucheza na Pamba FC ya Mwanza katika mchezo ambao utapigwa kwenye uwanja wa Chamazi Complex jijini Dar es salaam.

Mabingwa watetezi wa michuano hiyo Mtibwa Sugar watacheza na Majimaji FC kwenye uwanja wa Manungu Turiani Morogoro.

Mabingwa wa msimu wa 2015/16 klabu ya Yanga watakipiga na..... kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Michezo hiyo ya mzunguko wa nne itafanyika kati ya tarehe 25 na 28 mwezi Januari, 2019. Mchezo wa fainali mwaka huu utapigwa kwenye uwanja wa Ilulu mkoani Lindi.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea