Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri awacharukia Wakala wa chakula

Thursday , 14th Mar , 2019

Waziri wa kilimo Japhet Hasunga ametishia kufuta wakala wa hifadhi ya chakula nchini (NFRA), iwapo hautakuwa na uwezo wa kununua zaidi ya tani laki tano za mazao kila msimu kutoka kwa wakulima na kuyatafutia masoko ndani na nje ya nchi.

Waziri wa Kilimo Japhet Hasunga (katikati).

Akizungumza katika uzinduzi wa mtambo wa kusafisha mahindi uliotolewa na mpango wa chakula duniani (WFP), kwa NFRA, Mh. Hasunga amesema kazi ya wakala huo sio kuhifadhi tu chakula bali lazima wanunue mazao yote ya ziada kwa wananchi na kuyatafutia masoko.

Mh. Hasunga akizungumzia mtambo huo uliogharimu zaidi ya shilingi milioni 399 amewataka watendaji wa NFRA kuhakikisha wanautunza na kuufanyia matengenezo mara kwa mara.

Awali kaimu mtendaji wa NFRA Vumilia Zikankuba amesema wakala huo umekuwa ukishirikiana na WFP kwa muda mrefu katika kuboresha miundombinu na teknolojia za kuhifadhi chakula huku zoezi la kuuza tani 36,000 likiendelea.

Aidha ameeleza kuwa hadi sasa wameshauza zaidi ya tani 20,400 huku mwakilishi mkazi WFP akisema wametoa dola za kimarekani milioni 300 tangu mwaka 2010.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea