Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Ukiwa na nguvu za kiume ni baraka tosha" - Bob

Friday , 9th Aug , 2019

Msanii na mtayarishaji wa muziki Bob Junior, amejisifia kuwa amebarikiwa nguvu za kiume tofauti na wanaume wengine.

Bob Junior

Msanii huyo amezungumza hayo kupitia eNewz ya EATV, akijibu tuhuma za kuingiza wanawake na kufanya nao mapenzi studio kwake.

"Kawaida tu mimi ni rijali, ukikuta mwanamke ana mahaba na mimi nampa tu nguvu za kiume ambazo nimejaaliwa na M/Mungu napaswa niwape watoto wa kike ambao wanahitaji mapenzi kutoka kwangu, ukiwa na nguvu za kiume ni baraka tosha kuna watu wanazitafuta hizo".

Aidha Bob Junior ameendelea kusema kuwa hawachukui wanawake wa watu ila wao wenyewe ndio wanamtafuta, wanampenda na anataka hata akifa aache kizazicha watoto 20 au 30.

Pia amezungumzia bifu kati ya Mr Blue na Bonge La Nyau, ambapo amesema hawezi kuingilia kati kwa sababu wote hao ni ndugu zake ila yupo tayari kuwapa "Beat" bure ili wafanye kazi kwa pamoja.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea