Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba aeleza kinachomfanya asiishi kistaa

Monday , 2nd Sep , 2019

Staa wa BongoFleva Ali Kiba "King Kiba" amefunguka kuhusu mshikimano wa kazi sanaa na kufanikiwa kutenganisha ustaa wake na familia katika maisha.

Alikiba

Staa huyo ameyazungumza hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, kuhusu umoja wa suala la sanaa kwa Bongo Movie.

"Sanaa ni kitu ambacho kinapendeza sana, tunaishi kwenye sanaa kwa muda mwingi ukisikiliza muziki unaishi kwenye sanaa, ukienda 'salon' kunyoa au kusukwa na kujiremba ni sanaa hata ukivaa nguo nzuri za mitindo ni sanaa pia", amesema.

Alikiba ameendelea kusema sanaa ina upana mkubwa na amesisitiza kama wanasanaa watakubaliana kuwa na mshikamano watafika mbali ila kuna mgawanyiko ambao hauleti maana na wakikaa  pamoja watafanya jambo kubwa.

Aidha Ali Kiba ameeleza kitu alichofanikiwa kutenganisha kuishi katika ustaa na familia katika maisha.

"Ni kwa sababu tunaishi maisha ambayo ni ya ukweli. Mimi naishi kama watu wengine wanavyoishi, siishi kistaa na nikisema niishi kistaa watu wataniogopa kwa sababu naweza kuishi hivyo. Ila sitaki kwa sababu nafurahia maisha ambayo nayaishi".

Pia amesema haoni sababu ya kuishi hivyo kwa kuwa hakuna mtu anayeijua kesho yake na anataka kuishi kwa usawa na kujiheshimu sana.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea