Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Facebook kuondoa 'Likes'?

Wednesday , 4th Sep , 2019

Mtandao wa Facebook ambao ni wamiliki pia wa Instagram na WhatsApp huenda wakaja na mpango kama ambao unaendelea kufanyiwa majaribio Instagram wa kuficha uwezo wa mtu kuona 'Likes'.

Picha ya mfano wa Likes za Facebook

Tangu mwezi Julai uwezo huo ulianza kufanyiwa majaribio Instagram katika nchi kadhaa, na taarifa zinaonesha kupokelewa vizuri na watu lakini bado haujafanywa rasmi kwa watumiaji wote duniani.

Taarifa ya hivi karibuni ni kuwa mpango huo pia unaweza ukahamia Facebook, ambapo mtu atakuwa ana uwezo wa kuona idadi ya watu waliotoa Komenti lakini hawezi kuona idadi ya 'Likes' na uwezo huo utabakia kwa mtumiaji mwenyewe aliyeweka Post ndiyo atakuwa anaona idadi ya watu walio 'Like'.

Sababu za kutaka kuleta mabadiliko hayo zinatajwa ni kuweka umakini zaidi kwa watu kutazama kile kinachoandikwa kuliko picha, na kuondoa hali ya mtu kujisikia vibaya hasa pale mtu Post yake inapoonekana kushindwa kufanya vizuri.

Lakini mpango huo umekosolewa na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya teknolojia, kwamba ni janja ya Facebook kutaka kujiongezea mapato zaidi.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea