Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi wanne wa ACT mkoa na taifa wakamatwa

Saturday , 14th Sep , 2019

Viongozi wanne wa Chama cha ACT Wazalendo akiwemo Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma Taifa Ado Shaibu, wamekamatwa na Jeshi la Polisi Wilayani Temeke kwa kile kilichoelezwa walikuwa wanafungua matawi bila kuwa na kibali.

Bendera ya ACT Wazalendo

Tamko la chama hicho limetolewa leo Septemba 14  na M/kiti Kamati ya Itikadi, uenezi na mawasiliano Salim Bimani, ambapo ameeleza kutofurahishwa na kitendo hicho kwani ni kuingiliwa kwa masuala ya vyama vya siasa na kuvizuia kutekeleza majukumu na wajibu wao kisheria.

Bimani ameliomba  jeshi la Polisi liwaachie viongozi hao na lisimamie wajibu wake wa kulinda usalama na Mali za Raia, badala ya kuwa sehemu ya Chama.

Waliokamatwa ni pamoja na Katibu wa Itikadi, uenezi na Mawasiliano Kwa Umma Taifa  Ado Shaibu, Mwenyekiti wa Mkoa wa Dar es Salaam Soud Salum, Katibu wa Uchaguzi Mkoa Risasi Semasaba na Katibu wa Ngome ya Vijana wa Kata ya Azimio anayejulikana kwa jina la Said.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea