Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ahukumiwa kunyongwa kwa kuuwa na kuiba nyeti

Thursday , 19th Sep , 2019

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mbeya imemuhukumu kunyogwa mpaka kufa kijana Amani Kalinga (21), Mkazi wa Kijiji cha Mpanda Wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, baada ya kukutwa na hatia kwa kosa la kuuwa kwa kukusudia.

Akitoa hukumu hiyo Jaji wa Mahakama Kuu, Dk. Adam Mambi amesema kutokana na kosa la mtuhumiwa huyo kuua kwa kukusudia na kuchukua viungo vya sehemu za siri za mtoto Heroni Kalinga (12), ameeleza adhabu hiyo ni fundisho kwa vijana wengine wanaoamini imani za kishirikina.

Akisoma shauri hilo mahakamani, Wakili wa serikali, Shindani Michael amesema kuwa mshitakiwa alifanya kosa hilo mwaka 2017 nyumbani kwao Kijiji cha Mpanda,  ambako aliwakuta watoto zaidi ya watano wakichunga Ng’ombe na ndipo alipomshika marehemu na kumchoma kisu, na kuchukua sehemu zake za siri.

Hata hivyo Wakili wa Serikali, ameishukuru Mahakama kwa kutoa hukumu hiyo ambayo ameomba iwe fundisho kwa wananchi wanaoaamini imani za kishirikina.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea