Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ufafanuzi wa Simba kuhusu kuwasimamisha mastaa

Wednesday , 9th Oct , 2019

Uongozi wa klabu ya Simba umefafanua juu ya tetesi za wachezaji wake Jonas Mkude, Gadiel Michael, Erasto Nyoni na Clatous Chama zilizodai kuwa wachezaji hao wamesimamishwa.

Chama, Nyoni, Gadiel

Kupitia taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo, Simba ilifanya kikao cha ndani cha nidhamu mnamo Alhamisi, Oktoba 3 kujadili masuala ya kinidhamu pamoja na wachezaji hao kuhusu tuhuma za kutohudhuria mechi za kanda ya ziwa.

Klabu imesema kuwa kikao hicho kiliendeshwa kwa usawa na haki, ambapo walalamikiwa walitakiwa kujieleza na mashahidi waliitwa kutoa ushahidi kuhusiana na suala hilo.

Imesema suala hilo litamalizwa ndani ya klabu na kwamba kinachosubiriwa ni ripoti kutoka kwa kamati huru iliyoundwa na wanasheria wanne kuhakikisha kuwa haki inatendeka.

"Klabu ya Simba inasubiri wachezaji hao wamalize majukumu yao ya timu ya taifa kisha kukutana nao ili kulimaliza sakata hili, tofauti na taaria za uongo zilizotolewa kwenye baadhi ya vyombo vya habari mbalimbali kwamba wachezaji hao wamesimamishwa kwa kipindi cha mwezi mmoja kufanya shughuli zozote za klabu", imesema sehemu ya taarifa hiyo.

 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu