Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kinda wa Simba ataja alichoambiwa na Wawa uwanjani

Sunday , 13th Oct , 2019

Kinda wa klabu ya Simba, Joseph Peter ambaye amecheza kwa mara ya kwanza jana katika timu ya wakubwa amefichua siri kubwa iliyomsaidia kuwa na kiwango kizuri uwnjani.

Kinda Joseph Peter na Pascal Wawa

Mchezaji huyo ambaye ametoka katika timu ya vijana ya Simba na kucheza jana kwa mara ya kwanza katika kikosi cha kwanza kwenye mchezo dhidi ya Bandari amesema kuwa kitu ambacho kilimsaidia kutulia uwanjani ni ushauri ambao alipewa na mlinzi mkongwe Pascal Wawa.

"Pascal Wawa alikuwa ananiambia nitulie nisiforce sana kupanda juu kwa sababu Bandari wananizidi kuanzia nguvu na spidi, kwahiyo na mimi nikawa najitahidi kufanya vile ambavyo nilikuwa naagizwa", amesema Joseph.

Aidha Joseph Peter amemtaja mlinzi Mohamed Hussein 'Tshabalala' kuwa ndiye mchezaji anayemkubali katika kikosi cha Simba na kwamba ana mipango mikubwa katika soka kwani yupo katika klabu ya Simba kama njia ya kuyafikia mafanikio hayo.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu