Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Bob Chacha Wangwe kukata rufaa Mahakama ya Afrika

Thursday , 17th Oct , 2019

Baada ya Mahakama ya Rufaa kutengua hukumu iliyowazuia wakurugenzi kusimamia uchaguzi, Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe ameeleza nia yake ya kukatia rufaa maamuzi hayo katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu ili kuhakikisha demokrasia inapatikana.

Bob Chacha Wangwe

Akizungumza leo Oktoba 17, 2019 na EATV&EA Radio Digital, Bob Chacha Wangwe amesema kuwa hadi sasa wameshaanza kuandaa utaratibu wa kukata rufaa nje ya Tanzania kwa kile anachokiamini kuwa kama haki imeshindwa kupatikana nyumbani, basi ataipata nje ya nchi.

''Ushindi huo wa upande wa Serikali tumeupokea kwa masikitiko makubwa kwasababu tunategemea demokrasia iendelee, tunapoona inarudi nyuma ni jambo ambalo linasikitisha. Sisi tutakata rufaa kwenda mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu kwa sababu kwa Tanzania mahakama ya rufaa ndiyo mahakama ya juu zaidi", amesema Wangwe.

"Kwahiyo inapotokea imetoa uamuzi sisi hatuwezi tukarudi nyumbani, tunapoona hatujatendewa haki inabidi tukaitafute hiyo haki ambayo tumeikosa'', ameongeza.

Jana Oktoba 16, 2019, Mahakama ya Rufani Tanzania ilitengua hukumu na amri ya Mahakama Kuu kuzuia wakurugenzi wa halmashauri, manispaa, na majiji kusimamia Uchaguzi Mkuu kwa niaba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea