Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Nimechapwa bakora hadharani mara 7’- RC Mbeya

Monday , 21st Oct , 2019

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya albert Chalamila, amesema na yeye alishawahi kucharazwa bakora hadharani, wakati akiwa anasoma elimu ya Sekondari na kudai kuwa bakora hizo ndiyo zilizomsaidia mpaka sasa amekuwa Mkuu wa Mkoa, pamoja na kushika nafasi zingine za uongozi kwenye siasa.

Chalamila ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na EATV / EA Radio Digital, kuhusiana na hatma ya wanafunzi wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari Kiwanja, ambao aliwatimua kurudi nyumbani na kuwataka kulipa faini ya shilingi laki 2 kila mmoja, ambapo amesema mpaka sasa jumla ya wanafunzi 207 wameshalipa.
 

Mimi ni Mwalimu nimeshafundisha Shule za Sekondari 17, na Vyuo Vikuu kwa hiyo mimi ninatandika sana, nimeshawahi kuwa Mkuu wa Shule na baada ya hapo ndiyo nikaacha nikahamia kwenye masuala ya siasa."amesema Chalamila.

Aidha Chalamila ameongeza kuwa, "Kuhusu mimi kuchapwa hadharani nimeshachapwa sana wakati nikiwa nasoma tena nipiga karibia mara saba na nimechapwa kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo makosa ya kutofanya usafi, kuleta migomo na kusababisha migomo, na hata siku ya mwisho ya mtihani wangu wa form four nilipotoka kwenye mtihani wangu wa hesabu nilichapwa na Mwalimu wangu Robert".

Leo Jumatatu Mkuu huyo wa Mkoa, anatarajiwa kutoa hatma ya wanafunzi 56 wa Shule ya Sekondari Kiwanja , ambao aliwatimua Shuleni na kuwataka kulipa faini kwa tuhuma za kutishia kuchoma moto mabweni.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea