Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lipumba atuma ombi kwa Magufuli kuhusu Uchaguzi

Wednesday , 6th Nov , 2019

Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba,  amemuomba Rais John Magufuli, kuingilia kati suala la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa kile alichokidai ni kuepusha vurugu na matatizo kwenye uchaguzi huo.

Lipumba ametoa kauli hiyo jijini Dar es salaam, wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajia kufanyika Novemba 24, 2019.

 "Ili kuepusha suala la vurugu kwenye Uchaguzi huu, naomba Rais Magufuli aingilie kati suala hili na wagombea walioenguliwa wapewe nafasi ya kuteuliwa kugombea".

Aidha Profesa Lipumba ameongeza kuwa, "Kitendo cha kuwanyima fomu wagombea wa upinzani sio tu halina tija kwenye ukuaji wa Demokrasia, pia ni matumizi mabaya na hela za umma, huwezi ukafanya semina, kuchapisha nyaraka mbalimbali huku ukijua hakuna uchaguzi bali wagombea wanapita bila kupingwa".

Hivi karibuni akizungumza jijini Dodoma, Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo, alivitaka vyama vyenye malalamiko kuhusiana na zoezi hilo la Uchaguzi, kufika kwenye ofisi husika kuwasilisha mapingamizi yao.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa