Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Njombe : Pembe yasababisha wanafunzi kudondoka

Sunday , 10th Nov , 2019

Kitu chenye muonekano wa Pembe kilichodaiwa kusababisha wanafunzi kuanguka na kupoteza fahamu wakiwa masomoni, katika Shule ya Msingi Uganga wilayani Makete mkoani Njombe, kimeondolewa shuleni hapo.

Zoezi la kukitoa kitu hicho limeongozwa na Muungano wa Jamii Tanzania (MUJATA), shuleni hapo kufuatia malalamiko ya muda mrefu kutoka kwa wazazi na wanafunzi kuhusiana na kuihusisha shule hiyo na imani za kishirikina.

Akizungumzia kuondoa kwa kitu ambacho kinahusishwa na imani za kishirikina, Mwenyekiti wa Muungano wa Jamii Tanzania (MUJATA), Shayo Masoko, amesema kuanzia sasa shule hiyo ipo shwari na wanafunzi hawatadondoka tena.

Shayo amesema kuwa "hatutamtaja mwenye hiki kitu, hapa sasa pako shwari na kama yupo atakayefanya tena mambo yake hapa shuleni atakipata"

MUJATA kwa kushirikiana na wananchi wa Uganga wamekiteketeza kwa moto kitu hicho, na zoezi hilo limeendeshwa kwa uwazi na kwamba ujio wao shuleni hapo wameletwa na Serikali.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea