Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mkuu wa Mkoa ashuhudia ofisi iliyochomwa moto

Monday , 11th Nov , 2019

Watu wasiojulikana wamevamia na kuchoma moto Ofisi ya Afisa Mtendaji kata ya Mlali wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro, na kuteketeza Nyaraka na baadhi ya samani ambapo tayari watu watatu wanashikiliwa na jeshi la Polisi wakihusishwa na tukio hilo la kiharifu akiwemo Diwani wa kata hiyo,

Mkuu wa mkoa wa Morogoro (kulia) na baadhi ya mabaki ya vitu vilivyochomwa moto.

Frenk Mwananjinje.

Taarifa zinaeleza kuwa tukio la kuvamiwa na kuchomwa moto kwa ofisi hiyo, limetokea majira ya  saa 9:00 usiku wa kuamkia Novemba 11, 2019, ambapo zimeshuhudiwa nyaraka mbalimbali zikiwa zimeteketea vibaya na baadhi ya samani ikiwemo Viti, Meza.

Mkuu wa mkoa wa Morogoro Loata ole Sanare amefika katika eneo la tukio na kuweka wazi kuwa watu waliotekeleza uharifu huo watakamatwa mara moja na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.

Afisa Mtendaji wa kata hiyo ambaye pia ni msimamizi wa uchaguzi, amedai kuwa hivi karibuni alipokea vitisho kutoka kwa mmoja wa wagombea akimtuhumu kutotenda haki katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu