Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee wa miaka 71 aweka rekodi ya kufunga ndoa

Friday , 22nd Nov , 2019

Ron Sheppard (71) kutokea nchini Uingereza, ni maarufu kwa jina la muingereza ambaye mpaka sasa ameshaoa mara nane na wake zake wote ameachana nao na sasa anajipanga kuoa kwa mara ya tisa.

Kutokea upande wa kulia ni Babu Ron Sheppard akiwa na mke wake wa nane.

Ndoa hiyo ya tisa anatarajia kuifunga Februari 2020, na mwanamke anayejulikana kwa jina la Rose Hans, mwenye miaka 30, ambaye amemaliza kozi ya udaktari nchini Ghana, na anajipanga kuhamia nchini Uingereza.

Kupitia mtandao wa The Sun Online, Babu huyo amesema "Najua Rose ni mmoja wao haijalishi kama tumekutana wapi ila nachoweza kusema tuna muunganiko mzuri, umri ni namba tu sijali kama ni nusu ya miaka yangu au zaidi ana mapenzi na mimi na nampenda yeye" .

Historia yake inasema kwa sasa ni Baba wa watoto nane na ndoa yake ya kwanza alifunga akiwa na miaka 19, ilikuwa 1966, ambayo ilidumu kwa miaka miwili na kupata watoto watatu, ndoa ya pili alifunga 1973-1974, ndoa ya tatu ilikuwa 1976 na ilidumu kwa miaka mitano, ndoa ya nne ilifanyika mwaka 1982-1986.

Ndoa ya tano 1986-1997 na alipata watoto wawili wa kiume ya sita ilikuwa 1999 na alichana baada ya kumsaliti mkewe 2003, ndoa ya saba ilidumu kwa miezi 8 tu, ndoa ya nane alifunga mwaka 2004 na ilidumu kwa miaka 11 hadi kufikia 2015.

Source by The Sun Online.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea