Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Single Mtambalike adai siyo kila mzuri aigize

Thursday , 28th Nov , 2019

Muigizaji wa filamu nchini, Single Mtambalike, ameibuka na kusema kuwa sio kila mwanamke au mwanaume mwenye muonekano mzuri, lazima aingie katika fani ya uigizaji wa filamu kwa sababu ya kutumia uzuri wake.

Picha ya msanii wa filamu Bongo,Single Mtambalike.

Mtambalike amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, ambapo amesema uigizaji unahitaji uwezo mkubwa na ujuzi na si muonekano wa mtu.

"Hilo ndilo lililopelekea hadi kufikia hapa sasa kwa sababu watu waliamini kwamba, watu wenye mionekano mizuri wakikaa mbele ya kioo basi filamu itauza au wakikaa mbele ya filamu na kuwa maarufu itafanya vizuri ila kwangu mimi sipo huko huwa naamini katika 'perfomance' na muigizaji yeyote ni kinyago" amesema Single Mtambalike.

Aidha Mtambalike ameongeza kuwa "Kama kinyago chako kikikaa vizuri basi utakuwa unaweza kuuvaa uhusika wowote ule na sio lazima uwe mzuri pia kama utakuwa na uwezo wa kufikiri kwa kumsikiliza na kumuelewa muongozaji alichomaanisha, unaweza ukawa muigizaji mzuri sana" ameongeza.

Pia amesema kuwa ili mtu aigize, lazima afuate misingi na miiko ya fani hiyo na ajue vitu anavyotakiwa kuvifanya na asivyotakiwa kuvifanya.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea