Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Malipo ya pensheni yapaa ndani ya miaka 2 Zanzibar

Sunday , 12th Jan , 2020

Sherehe za maadhimisho ya miaka 56 ya Mapinduzi ya Zanzibar zimefanyika leo katika Uwanja wa Amani, Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa wakiongozwa na Rais Magufuli.

Rais Dkt. Ali Mohamed Shein

Mgeni rasmi katika sherehe hizo ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein.

Katika hotuba yake kwa wananchi kwenye sherehe hizo, Dkt. Shein amesema kuwa Serikali ya Awamu ya 7 ndani ya miaka yake tisa imeendelea kutekeleza mipango ya mageuzi ya kiuchumi kwa kuimarisha hali ya amani iliyopelekea kuongezeka kwa pato la uchumi mara sita zaidi. Kutoka  Trilioni 1.78 mwaka 2010 Trilioni 2.87 mwaka 2018.

Pia amesema kuwa Pato la mwananchi limeongezeka kutoka wastani wa Sh. 942,000 mwaka 2010 hadi kufikia Sh. 2,323,000 mwaka 2018 jambo lililopelekea kuinua hali ya maisha ya wananchi.

Kuhusu ulipaji wa pensheni kwa wastaafu, amesema kuwa, "malipo ya pensheni kwa wastaafu yameongezeka kutoka Sh. 25,000 kwa mwezi mwaka 2017 hadi Sh 90,000 kwa mwezi mwaka 2019".

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea