Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'NCCR Mageuzi tunakuja na K ya 4' - Mbatia

Wednesday , 19th Feb , 2020

Mbunge wa Vunjo kupitia Chama cha NCCR Mageuzi James Mbatia, amesema kuwa chama hicho kilipambana kuleta hoja mpya ya elimu ambayo kwa kiasi kikubwa ilifanikiwa na Serikali kupitisha hoja ya K tatu yaani Kusoma, Kuandika na Kuhesabu huku wakitaka kuongeza K ya nne.

Mbunge wa Vunjo kupitia NCCR Mageuzi, James Mbatia

Hayo ameyabainisha leo Februari 19, 2019, jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa Halmashauri Kuu ya chama hicho na kusema kuwa hoja yao ya msingi kwa sasa ni kuwa na ushirika wa pamoja wa kuwa na Katiba shirikishi kwa Watanzania wote.

"Sisi NCCR tulikuwa na hoja ya elimu tuliizungumza, tulipambana katika hoja siyo kwa ngumi kuhusu kurudishwa kwa K tatu, Kusoma, Kuandika na Kuhesabu, leo hii tunahoja ya kuwa na K ya nne ya kusikiliza, tuna udhaifu mkubwa sana wa kutokusikiliza msikilize mwenzako anasema nini na kuwa na mawazo shirikishi" amesema Mbatia.

Aidha Mbatia akizungumzia sula la kurudi CCM amesema kuwa hana mpango wowote wa kuvaa shati lenye rangi ya kijani, kwani kwa kufanya hivyo atakuwa amemsaliti mama yake mzazi aliyeasisi chama hicho.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea