Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ujue undani wa Madereva waliokutwa na Corona Kenya

Wednesday , 20th May , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo amesema kuwa, amebaini kuwa kitendo cha Serikali ya Kenya kuwapima Madereva 19 Watanzania na kuwakuta na maambukizi ya Virusi vya Corona ni njama za kuua soko la utalii nchini, kwani baada ya madereva hao kupimwa hapa nchini walikutwa hawana Virusi.

Malori ya Mafuta

Mrisho Gambo ameyabainisha hayo leo Mei 20, 2020, kupitia taarifa yake kwa Vyombo vya Habari na kueleza ni hatua zipi ambazo wamezichukua baada ya kubainika uwepo wa wimbi kubwa la maambukizi ya Virusi vya Corona mipakani, na kusema kuwa hata wao wameanza kuwapima Madereva wanaotoka nchi hiyo jirani kupitia mpaka wa Namanga na wengi wao wana maambukizi.

"Ili kujiridhisha upya tulichukua tena Sampuli za Madereva 19, waliopimwa Namanga upande wa Kenya na kukutwa wana maambukizi, Sampuli hizi tuzipeleka Maabara Kuu ya Taifa Dar es Salaam, majibu yalionesha kuwa madereva hao hawana maambukizi ya Virusi vya Corona, Mkoa umejiridhaisha kwamba hizi ni mbinu za nchi ya Kenya kuua soko la utalii nchini" imeeleza taarifa ya RC Gambo.

Aidha RC Gambo amesema kuwa jumla ya Sampuli 67 za madereva wanaotoka Kenya zimekwishapimwa, "Madereva 44 kutoka Kenya walichukuliwa vipimo Mei 14 na majibu yalitoka Mei 16 na  kati ya hao madereva 14 walikutwa na Corona, kati ya hao Wakenya ni 11, Mganda 1 na 2 nchi tumeihifadhi, aidha Mei 16 walipimwa madereva 23 kutoka Kenya, na majibu yalitoka Mei 18, ambapo kati ya hao 10 walikutwa na maambukizi na wote ni raia wa Kenya". 
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea