Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kauli ya Lijualikali baada ya kuhojiwa na TAKUKURU

Thursday , 11th Jun , 2020

Mbunge wa Kilombero Peter Lijualikali, amewataka Wabunge wote ambao wameitwa na TAKUKURU kwa ajili ya mahojiano, waseme ukweli na si kudanganya.

Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali.

Lijualikali ameyabainisha hayo leo Juni 11, 2020, mara baada ya kutoka kufanyiwa mahojiano na taasisi hiyo kufuatia tuhuma walizozitoa dhidi ya CHADEMA, kuwa walikuwa wanakatwa mishahara yao kila mwezi, ambapo Wabunge wa kuchaguliwa walikuwa wakikatwa laki 5, huku Wabunge wa Viti Maalum wao walikuwa wakikatwa Milion 1.5.

"Mahojiano yalikuwa mazuri na ya kirafiki, niwaombe wenzangu ambao wanakuja kwamba TAKUKURU imejipanga wana kila taarifa, yaani kama umejipanga kuja kudanganya, hauwezi kudanganya kabisa" amesema Lijualikali.

TAKUKURU Makao Makuu imesema kuwa itawahoji jumla ya Wabunge 69, pamoja na waliowahi kuwa Wabunge wa CHADEMA, ikiwa ni mwendelezo wa uchunguzi wa malalamiko dhidi ya matumizi ya fedha za chama zilizolalamikiwa na baadhi ya waliowahi kuwa Wabunge kupitia chama hicho.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea