Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Majaliwa aelezea sifa ya Rais Magufuli

Sunday , 28th Jun , 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa moja ya sifa ya Rais Magufuli ni kusema ukweli na kuutekeleza, hii ni baada ya Rais Magufuli kumpigia simu na kuagiza kuwa ujenzi wa barabara ya kutoka Ruangwa hadi Nanganga unaanza mara moja.

Waziri Mkuu Kassim Majalia.

Kauli hiyo ameitoa wakati wa tukio la utiaji saini mkataba wa makubaliano ya ujenzi wa barabara ya Ruangwa hadi Nanganga, yenye urefu wa Km 53.2 kwa kiwango cha lami, ikiwa ni ahadi aliyoitoa Rais Magufuli alipofanya ziara Ruangwa.

"Kile ambacho tulikuwa tunatamani, kikaahidiwa hapa na kiongozi wa nchi Rais wetu Dkt John Pombe Magufuli alipofanya ziara Ruangwa, aliweza kuvunja kiu yetu Wana-Ruangwa toka alivyokuwa anaingia Nanganga wananchi walimuomba asimame na yeye alisimama akijua kuwa, hawa wana hamu ya maendeleo, sifa moja ya Rais Magufuli ni kusema na kutenda na ametekeleza" amesema Waziri Mkuu.

Aidha kwa upande wake Rais Magufuli alitumia fursa hiyo kumpongeza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa mkoani Lindi kwa uhodari wake wa kazi.
"Endeleeni kumuani Mheshimiwa Majaliwa, amekuwa akinisaidia, aendelee kuchapa kazi kwa ajili ya Ruangwa na Tanzania".

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu