Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Kazi sio Urais tu, mtarogana bure" - JPM

Tuesday , 30th Jun , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amewataka wana CCM wote wanaoenda kugombea katika nafasi mbalimbali wakawe wavumilivu na wasije wakasababisha kuvunja umoja wao, hasa katika kipindi hiki cha kampeni kwani watapoteza mwelekeo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo Juni 30, 2020, Jijini Dodoma wakati akizungumza na wanachama wa Chama cha Mapinduzi, mara baada ya kurejesha fomu yake ya kuwania nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu ujao, na kutolea mfano wa namna ambavyo watia nia wa Urais Zanzibar, walivvyojitokeza kwa wingi na kupelekea kuanza kutoleana maneno.

"Niwaombe sana hasa wagombea wa CCM na Urais wa Zanzibar, wakawe waangalifu sana katika kunadi nafasi zao wasiumizane, tunawapa nafasi washindani wetu, kazi siyo Urais tu na ndiyo maana Wenyeviti wangu wa CCM wa Mikoa wote walikuwa na uwezo wa kuwa Marais lakini mkasema nenda wewe Magufuli, na kuna majimbo naambiwa watia nia wako hadi 25, mtarogana na kuumizana bure, atakayechaguliwa Mungu anamjua" amesema Rais Magufuli.

Zaidi ya wanachama Milioni 1 wa Chama cha Mapinduzi, wamejitokeza kumdhamini Mwenyekiti wao Rais Magufuli katika fomu za kuwania kupitishwa na chama hicho ili kugombea Urais katika uchaguzi ujao.
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea