Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wafanyabiashara waaswa kuhusu rushwa

Wednesday , 12th Aug , 2020

Wafanyabiashara nchini wameaswa kutojihusisha na vitendo vya rushwa na badala yake wametakiwa wasimamie utekelezaji wa masharti ya leseni zao kwa mujibu wa sheria, taratibu pamoja na kanuni za nchi.

Wafanyabiashara nchini wameaswa kutojihusisha na vitendo vya rushwa na badala yake wametakiwa wasimamie utekelezaji wa masharti ya leseni zao kwa mujibu wa sheria, taratibu pamoja na kanuni za nchi.

Kauli hiyo imetolewa na mmoja ya wafanyabiashara nchini ambao huusika na ukusanyaji wa madeni ya serikali bi Scolastica Kevela ambaye amewataka wafanyabiashara kutojihusisha na vitendo Hivyo kwa kuwa uzoefu uunaonesha wapo Watu wasiowaaminifu hukitumia kipindi hiki Cha Uchaguzi Mkuu kukiuka misingi ya kibiashara.

Aidha amesisitiza kuwa kwa Sasa ni vyema kutumia fursa zitakazotokana na uchaguzi huku akiwaasa wafanyabiashara wengine kuzidi kufanya uwekezaji bila hofu kwa kuwa Tanzania kihistoria imekuwa ikipita katika chaguzi zake bila Uvunjifu wa Amani.

Akihitimisha amewataka pia wananchi kuendelea kusimama imara ili kwa Pamoja kukua kiuchumi zaidi ya Uchumi wa Kati ambao Kama nchi imefikia kwa sasa "Uwekezaji uliopo bado una changamoto licha ya kuwa atakayestahimili katika biashara ni yule pekee mwenye msingi imara na anayezingatia kanuni za uwekezaji" alisema Kevela

 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea