Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Gigy Money aitwa kuombewa na mtumishi wa Mungu

Friday , 20th Nov , 2020

Mtumishi wa Mungu na msanii wa zamani wa filamu Asnath Mathias amesema anatamani kumuombea msanii Gigy Money kutokana na vitu vyake vya ajabu anavyovifanya mitandaoni na jinsi anavyozungumziwa kwa watu.

Mtumishi wa Mungu Asnath Mathias

Mtumishi huyo wa Mungu amesema Gigy Money ni mwanamke mzuri sana ila hapendezewi na maisha aliyokuwa nayo na amemshauri amuombee ili aanzishe maisha mapya, atulie na ajiheshimu.

"Kuokoka sio kuwa na shida na mtu bali ni kuacha mambo ya kidunia na kufanya kitu ambacho kitampendeza Mungu, Gigy Money ni mwanamke mzuri mno atambue hilo lakini ukifungua mitandao lazima utamuona na unaona vitu vya ajabu ambavyo anavifanya na watu wanavyomzungumzia" amesema

"Anaweza akaanzisha maisha yake mapya ili atulie, ajiheshimu na aijue thamani yake kama mzazi na mwanamke, anaweza asiamini ila naweza kumuombea kwa Mungu kumpa neema ya kubadilika" ameongeza

Aidha amesema anatamani kuwaona wasanii wa BongoFleva kama Lady Jaydee na Ruby kuimba nyimbo za Injili kwani zinawafaa na zitawapendeza.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea