Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi wagoma kisa mayai

Friday , 19th Feb , 2021

Wanafunzi wa shule ya wasichana ya Moi nchini Kenya, watalazimika kubaki nyumbani kwa muda usiojulikana baada ya shule hiyo kufungwa na idara ya elimu kufuatia mgomo wa wanafunzi waliolalamikia kuondolewa kwa mayai kwenye lishe yao.

Mayai

Wananafunzi hao waligoma kwa kile walichokitaja kama kunyanyaswa na usimamizi wa shule hiyo, baada ya kuondoa mayai kwenye ratiba ya chakula shuleni hapo jambo ambalo limeonekana kuwagadhabisha wanafunzi na kufanya mgomo.

Miongoni mwa mambo mengine yaliyowagadhabisha ni upungufu wa wafanyakazi shuleni hapo, hali iliyowalazimu wao kufanya kazi za sulubu, kupewa adhabu kwa njia ya viboko kinyume na sheria, pamoja na masuala mengine wanayosema shule hiyo haiyazingatii.

Visa vya migomo shuleni na wanafunzi kuteketeza mabweni vimekithiri siku za hivi karibuni nchini Kenya, ikiwa ni miezi miwili tu tangu wanafunzi warejee shuleni baada ya kipindi cha miezi kumi nyumbani kufuatia shule kufungwa kutokana na mlipuko wa janga la Corona, ambapo mpaka sasa zaidi ya wanafunzi 50 wamefikishwa kwa tuhuma hizo.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu