Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtandao wa Elimu Tanzania waja na mkutano huu

Sunday , 16th May , 2021

Kufuatia uwepo wa changamoto kadhaa katika sekta ya elimu nchini mtandao wa elimu Tanzania (TENMET) umeandaa mkutano wa kimataifa kuzijadili changamoto hizo ikiwemo uwajibikaji wa pamoja katika kugharamia elimu bora.

Wanafunzi

ukihusisha taasisi zote za elimu za juu, taasisi za utafiti wakiwemo mabalozi wanaowakilisha nchi mbali mbali duniani. Mgeni rasmi akitarajiwa kuwa Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete.

“Kila mwaka tumekuwa tunaandaa mktano wa kujadii ubora wa elimu ambao hutoa fursa kwa wadau wa elimu ikiwemo serikali wananchama wa mtandao wadau wa maendeleo kuona ni namna gani elimu wanayoipata watoto wetu inakwenda kujibu changamoto katika dunia ya leo”amesema Ochola. 

Akizungumza na EATV mapema hii leo mratibu wa mtandao huo wa elimu wamesisitiza kuwa kwa takribani miaka 60 ya uhuru wa Tanzania katika mkutano huo itajadiliwa ni elimu ya aina gani ambayo watanzania wanapashwa kuipata kwa sasa itakayokidhi mahitaji ya sasa ikiendana sambamba na mabadiliko ya Tehama.

Mkutano huu wa kimataifa unatarajiwa kufanyika kwa siku tatu mfululizo kuanzia mei 18hadi 20, 2021 ukihudhuriwa na wadau mbali kutoka ndani na nje ya Tanzania.
 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu