Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ayoub Lyanga yupo fiti, vibali vya mkwamisha Zulu

Friday , 17th Sep , 2021

Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Mawasiliano kwa klabu ya Azam, Zacharia Thabit amethibitisha kuwa winga wake nyota, Ayoub Lyana aliyekuwa anasumbuliwa na majeraha kwasasa yupo fiti ilhali nyota mpya, Charles Zulu anataraji kukosekana kwasababu nyaraka zake za vibali hazijakamilika.

Mshambuliaji wa klabu ya Azam, Ayoub Lyanga.

Zacharia Thabiti amesema; "Ayoub alipata majeraha kwenye mechi hiyo, lakini sasa yuko fiti kuivaa Horseed. Ila mchezaji ambaye aliikosa mechi hiyo Charles Zulu ataendelea kuikosa kutokana na matatizo la nyaraka pamoja na yeye pia kuwa majeruhi".

Mbali na taarifa za wachezaji hao, Zaka amesema wanafahamu umuhimu na ugumu wa mchezo huo lakini kwa kuwa lengo la klabu hiyo ni kupata matokeo mazuri na kusonga mbele kwenye hatua ya kwanza ya mtoano kuwania kufuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika basi hawana budi ya kulinda ushindi wao.

"Tuko mbele kwa  mabao mawili. Tutakachokifanya kwenye mechi hiyo ni kuulinda zaidi  ushindi wetu kwasababu hata wao wanahitaji mabao 2-0 ili wasonge mbele. Tunalijua hilo na tutapambama".

Azam inataraji kucheza mchezo wake wa marudiano dhidi ya Horseed ya Somalia saa 4:00 jioni  Jumanmosi ya Septemba 18, 2021 kwenye dimba la Chamazi na mchezo huo utahesabika Horseed kuwa kwenye uwanja wa nyumbani baada ya kuchagua uwanja huo kufuatia machafuko nchini kwao.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea