
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Henry Mwaibambe
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Henry Mwaibambe, amethibitisha kutokea tukio hilo baada ya kuomba kibali cha mahakama na kufanikiwa kufukua mahali alipokuwa amezikwa mtoto huyo na kukuta nguo ambazo amezikiwa zikiwa hazijachakaa pamoja na suruali ya aliyekuwa baba yake ambaye pia alifariki 2019.