
Kulia ni mbunge wa Shinyanga Patrobas Katambi
Imeelezwa kuwa wamekuwa wakijeruhi na wakati mwingine kusababisha vifo pamoja na kubeba mifugo zikiwemo mbuzi kondoo na kuku hali ambayo inasababisha jamii kuishi kwa hofu.
Uwepo wa fisi wanaozunguka hovyo kwenye mitaa mbalimbali ya manispaa ya Shinyanga nyakati za asubuhi,jioni na usiku imekuwa tishio kubwa kwa wakazi wa mji huo.
Kulia ni mbunge wa Shinyanga Patrobas Katambi
Imeelezwa kuwa wamekuwa wakijeruhi na wakati mwingine kusababisha vifo pamoja na kubeba mifugo zikiwemo mbuzi kondoo na kuku hali ambayo inasababisha jamii kuishi kwa hofu.