Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yaombwa kuingilia kati bei ya Samaki

Friday , 3rd Jun , 2022

Chama cha wavuvi nchini TAFU kimeiomba serikali kuingilia kati mabadiliko ya bei za uuzaji wa samaki viwandani zilizoporomoka kutoka elfu kumi na moja hadi kufikia elfu saba kwa kilo moja.

Mwenyekiti wa Chama cha wavuvi TAFU Bakari Kadabi

Mwenyekiti wa Chama cha wavuvi TAFU Bakari Kadabi ametoa ombi hilo jijini Mwanza na kusema kuwa kuporomoka kwa bei hiyo kunaweza kusababisha ongezeko la uvuvi haramu kutokana na wavuvi wengi kupata hasara kubwa.

‘Bei za Samaki zimeshuka sana kupita kiasi, kiasi kwamba wavuvi wetu wanapata hasara kubwa sana ukilinganisha bei za mafuta nazo zipo juu uendeshaji upo juu na bei zimeshuka viwandani kwahiyo ni hasara kwa wavuvi wetu"

"Matatizo ya wafanyabishara wa Samaki ndani ya viwanda yamekuwa yakishughulikiwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi tunaona ipo haja kwa Wizara ya viwanda na biashara kuhusika kwenye hilo" - ameeleza Kadabi

Katika hatua nyingine Kadabi amesema sasa ni muda muafaka kwa Wizara kuunda bodi ya pamoja itakayosaidia kufuatilia bei katika masoko makubwa ya kimataifa ili kupata bei elekezi.
Changamoto ya kupanda kwa bei katika viwanda vya samaki imetokea ndani ya kipindi cha mwezi mmoja kuanzia mwezi wa tano.

HABARI ZAIDI

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi