
Picha ya Mama Zuuh na Harmonize wakiwa na mtoto wao
"Harmonize anatoa sapoti kwa mtoto, analea mtoto wake anamsomesha shida ipo kidogo lakini anatimiza majukumu yake"
"Siwezi kuhesabu jumla ni Tsh ngapi kwa mwezi kwa sababu nikiwa nahitaji kitu nasema napewa, labda laki 5".
Zaidi mtazame hapa kwenye video akizungumzia hilo.