Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Fimbo yetu ya mbali inaua Nyoka" - Mwangamilo

Wednesday , 27th Jul , 2022

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha SP Solomoni Mwangamilo, amewaonya baadhi ya wamiliki na madereva wa mabasi yaendayo mikoani kuacha mara moja, tabia ya kushabikia mwendokasi kwani umekuwa ndiyo chanzo cha kupoteza maisha ya watu na atakayekamatwa atashughulikiwa kweli.

Mkuu wa kikosi cha usalama barabarani mkoa wa Arusha SP Solomoni Mwangamilo

Kauli hiyo ameitoa hii leo Julai 27, 2022, wakati akiongea na madereva wa mabasi yaendayo mikoani katika stand kuu ya mabasi jijini Arusha, na kusema zipo taarifa kutoka kwa wananchi wema kuwa kuna baadhi ya wamiliki wanao washawishi madereva kwenda mwendo kasi na madereva hao kuyaendesha magari hayo kasi.

"Fimbo ya mbali ya kwetu polisi inaua Nyoka, kuna wamiliki wa mabasi wanashabikia mwendo, mtupe taarifa tutamfikia, na tutakachomfanya yeye ndiyo ataeleza tumemfanya nini, ajali zinaharibu system nzima za maisha ya watu, watu wamechoka kulia na kusononeka, nitakayemkamata nitamshughulikia zaidi ya kawaida," amesema SP Mwangamilo

SP Mwangamilo akawasisitiza madereva kuhakikisha wanafuata miiko ya uendeshaji na sheria za barabarani.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu