Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tawi la Ccm Mtakuja wapokea tofali 200

Sunday , 4th Dec , 2022

Kutokana na Ofisi ya Tawi la Mtakuja  la Chama Cha Mapinduzi CCM katika kata ya Kunduchi kufanya vikao katika miti Tawi hilo limepokea msaada wa matofali 200 kutoka kwa mdau wa maendeleo na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hiyo.

Akizungumza na EATV jijini Dar es salaam Katibu wa Tawi hilo Sharifa Kitenge amesema wameshukuru kupokea tofali hizo kwani kwa muda mrefu wamekuwa wakitafuta mfadhili kwa ajili ya kupata mdhamini kwa ajili ya ujenzi wa Tawi hilo.

Aidha amesema kuwa matofali hayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa katjika ukarabati wa ofisi hiyo ambayo bado inahitaji mamboresho makubwa kwani bado wanafanya vikao katika sehemu zisizo rasmi.

Kwa upande wake mdau  wa maendeleo na Mwanachma wa Chama Cha Mapinduzi Omary Hassan amesema amekabidhi tofali hizo mara baada ya kuona uhitaji wa tofali kwani jengo hilo ni la muda mrefu na limechakaa.

Pia ameongeza kuwa bado kuna uhitaji mkubwa wa vifaa vya ujenzi ili ofisi hiyo ikamilike na iwe katika hali nzuri hivyo amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu