Aidha Klabu ya Yanga inawashukuru na kuwatakia kila la heri katika majukumu yao mengine huku wakidai hivi karibuni watangaza mbadala wa nafasi hizo hivi karibu.
ikumbukwe kuwa kocha huyo ambaye aliewezesha timu hiyo ya Yanga Princess kumaliza katika nafasi ya pili katika ligi ya wanawake wakati kombe likichukuliwa tena na watani wao Simba.