Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watakiwa kupanga kilimo cha matokeo ya haraka

Thursday , 22nd Dec , 2022

Wakati Mkoa wa Kagera ukitajwa kuwa miongoni mwa mikoa ya mwisho katika umaskini, maafisa kilimo wametakiwa kukaa na kupanga ni kilimo cha mazao gani kitaleta matokeo ya haraka ya kiuchumi kwa wananchi hasa vijana, lengo likiwa ni kuhakikisha uchumi wa mkoa unapanda kupitia sekta hiyo

Akizungumza katika kikao cha kamati ya kujadili maendeleo ya wilaya ya Bukoba, ambacho kimezishirikisha halmashauri mbili ambazo ni manispaa ya Bukoba na halmashauri ya wilaya ya Bukoba, mkurugenzi wa manispaa hiyo Hamed Njovu amesema kuwa, huwezi kuhamasisha kilimo cha miti au mazao ambayo yanaleta matokeo ya kiuchumi baada ya miaka 10 au 15, halafu ukategemea vijana waitikie.

"Vijana wanaangalia wafanye kitu gani cha kuwaletea matokeo ya haraka, na ndiyo maana wanakimbilia kwenye kuendesha bajaj na bodaboda, lakini maafisa kilimo wetu wakichagua zao ambalo linaweza likampa mkulima matokeo ya haraka, vijana wataenda huko" amesema. 
 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea