Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Michezo ya mapigano yapamba moto

Monday , 16th Jan , 2023

Wachezaji 40 wa sanaa za mapigano wanatarajia kushiriki Ligi ya Fay herous ambayo itaanza Februari 25 mwaka huu kwenye fukwe ya Azura Dar Es Salaam.

Ligi hiyo imeandaliwa  na Chama cha Wushu(TWA)  Tanzania kwa kushirikiana na Kamisheni ya Kusimamia ngumi za Kulipwa Tanzania ( TPBRC) na Klabu ya Fay Herous .

Katibu Mkuu wa  TWA  Sensei Gola Kapipi ,alisema kuwa wachezaji hao ni WA michezo ya ngumi za Kulipwa ,kickboxing Judo ,Karate na Wushu.

"Ligi Hii itakuwa inafanyika kila mwezi na tunatoa Fursa  kwa michezo ambayo haifanyi mashindano  iweze kutoa nafasi ya Vijana kushiriki  waweze kujitengenezea kupata ajira na kuinua michezo hiyo," alisema Sensei Kapipi.

Naye Katibu Mkuu wa TPBRC  Yahya Poli,alisema kuwa kwa ngumi za Kulipwa itashirikisha mapambano tisa  kati ya hayo  yapo ya Wanawake.

'' lengo ni kukuza,kuibua na kuendeleza vipaji vya vijana kupitia mchezo huo''Katibu Mkuu wa TPBRC  Yahya Poli

Kwa upande wa Kaimu Mkuu wa Kitengo Cha Uhusiano na mawasiliano  wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT )  Najaha Bakari,aliwaomba wadau na wadhamini kujitokeza kuunga mkono kwa kusaidia kufanikisha Ligi hiyo.

'' Wito  mwingine kwa waandaji kuendelea kuandaa mashindano mengi Ili kutoa fursa kwa wachezaji kushiriki  na kuibua vipaji mtaani  Ili kuweza kupata wawakilishi bora  kimataifa.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa