Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kimbunga chatabiriwa kusambaa zaidi Marekani

Monday , 27th Mar , 2023

Hali mbaya zaidi ya hewa inaweza kuwa njiani kuelekea jimbo la Mississippi nchini Marekani kufuatia vimbunga vilivyosababisha vifo vya watu 26, gavana wa  la Mississippi ameonya.

Gavana Tate Reeves alisema hatari kubwa bado ziko katika baadhi ya maeneo ya jimbo hilo.

Mamia ya watu wameyakimbia makazi yao kufuatia vimbunga vilivyosambaa katika miji ya Mississippi na Alabama siku ya Ijumaa usiku. Meya wa moja ya miji iliyoathirika zaidi alisema amepoteza marafiki wa karibu katika mkasa huo.

Kimbunga cha Ijumaa kilikuwa kibaya zaidi kuwahi kushuhudiwa katika jimbo la Mississippi katika kipindi cha zaidi ya muongo mmoja. Takriban watu 25 wamefariki katika jimbo hilo huku mtu mmoja akithibitishwa kufariki katika jimbo jirani la Alabama.

Miti imeng'olewa, malori yamepinduka kuwa nyumba na nyaya za umeme zimeshushwa na kimbunga hicho . Siku ya Jumamosi, manusura wa mkasa huo walionekana wakitembea huku na kule, wakiwa wamechanganyikiwa na kushtuka

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea