Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mtoko ni muhimu kwa afya ya mwanaume

Tuesday , 23rd Jan , 2024

Kulingana na utafiti kutoka Chuo kikuu cha Oxford, kuwa na marafiki na kupata moja moto moja baridi siyo tu hufurahisha wanaume, bali pia ni muhimu kwa afya zao.

 

Mwanasaikolojia Robin Dunbar, kwa kushirikiana na kikundi cha utafiti wa maswala ya ''neuroscience'' kutoka chuo kikuu cha Oxford, wamebaini kuwa mwanaume anahitajika kupata mtoko angalau mara mbili katika wiki, ili kukuza ustawi wa urafiki na kwa afya yake binafsi.

Dunbar anasema urafiki wa mwanaume unaweza kukua kwa kushiriki kwenye mambo mbalimbali na wanaume wengine, ikiwa ni pamoja na maswala ya kimichezo, kupata moja moto moja baridi na aina nyingine zinazopelekea makutano ya wanaume.

Utafiti wao ulibaini kuwa wanaume ambao walistawisha uhusiano wao kwa maana ya kukutana angalau mara mbili kwa wiki na marafiki zao, walikuwa na asilimia ndogo sana ya kupatwa na msongo wa mawazo ambao mara nyingi, utokea kutokana na ukosefu wa kazi kwa mwanaume, kukosa fedha (hali mbaya ya kiuchumi) na mengineyo

Kwa nyiongeza walibaini kuwa wale ambao walifanikiwa kukutana na marafiki angalau mara mbili kwa wiki walifanikiwa kurejea kwenye hali ya kawaida kwa uharaka zaidi pale walipokumbwa na msongo na upweke ukilinganisha na wale ambao hawajichanganyi na marafiki.

Picha: food24.com

 

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu